Subscribe:

Ads 468x60px

Thursday, June 21, 2012

OFA BOMBA KUTOKA REX INVESTMENT


WAMAMA JE MWAJUA NJIA MBADALA ZA KUPATA UMEME,
Kuna kipindi hapa Tanzania tulipitia wakati mgumu wa kutokuwa na umeme, kutokana na mgawo ambao  ulisababishwa na kupungua kwa kiwango cha maji na mambo mengine mengi, Ndipo sa watu wakaanza kutafuta njia mbadala za kupata umeme ikiwa ni pamoja na Solar power, inventor ( Backup) na njingine nyingi. Ambazo zilipatikana kwa gharama kubwa.

Leo nimeona niongelee hili swala kwani nimegundua kuwa kuna watu wengi tuliumizwa na swala hili kwa kutugharimu kiasi kikubwa cha pesa kuliko ilivyo staili na ni kwa sababu ya kutokujua kinachoendelea huko madukani na wapi unaweza kupata kwa bei inayofaa na sio ya kuumiza sana.
Jana nilizungumza na rafiki yangu ambaye yeye anafanya kazi kwenye kampuni inayoshughulika na mambo haya ya umeme wa solar ameniambia mambo mengi na zaidi ya yote kilichonivutia zaidi ni Gharama zao.

Kwa kusema kweli nilishtushwa na gharama alizozisema kwani zilikuwa chini kiasi ambacho sikutegemea, kwani nilikuwa najua kuwa kuweka inventor ( Backup) inagharimu si chini ya 4m kumbe si kweli, zaidi ya yote akaniaambia pia Solar power wanayotoa ni cheap na genuine kwani zipo nyingine ni feki. Na unapogharamia ni mara moja tu halafu wewe unaendelea kutumia tu.
Hivyo basi akina mama wenzangu ili kuepukana na kero za kukatikiwa na umeme au kutokuwa na uhakika wa umeme mnaonaje mkafikiria kuweka solar. Kwani mara nyingi umeme ukikatika utakimbilia kuwasha mshumaa, sasa basi ili kuwasha tata za nje na ndani kwa solar unatakiwa uwe na kiasi si zaidi ya 1m. Kwa kiasi hicho utawasha taa za nje zote na ndani na ukiwa na wataalam wao wanauwezo wa kukuunganishai moja kwamoja  inakuwa kama standby generator yaani umeme ukikatika tu solar unaanza kazi yake.
Kwa kweli nawahamasisha wenzungu tujitahidi tuweke solar twende na wakati tupunguze ngarama na ajali zinazoweza sababishwa na mishumaa, hivyo kama utapenda anza kudunduliza sasa, ikifika 1m tu solar inapatikana kwako. Kama ujuaavyo nyumba ni mama umeme wa uhakika Tumia Solar.
Huduma hii inapatikana Rex Investment, wataalamu wa solar Power wenye uzoefu.Wahi kabla mgao haujaanza
Wanapatika hapa hapa Dar es saalam.

No comments:

Post a Comment