Subscribe:

Ads 468x60px

Wednesday, October 9, 2013

WAZO LA LEO

Leo napenda kuongea na akina mama wenzangu, kuhusu kunyonyesha, hebu akina mama wote mnaonyonyesha jisikieni fahari kunyonyesha watoto wenu, binafsi nimeona baadhi ya akina mama wakiwa na watoto wadogo hawapendi kunyonyesha wanawapatia maziwa mengine tofauti na ya mama, ukweli ni kwamba kuna faida nyingi sana ukimnyonyesha mtoto.

hivyo kama wewe ni mama hebu jisikie fahari kumnyonyesha mwanao.

No comments:

Post a Comment