Subscribe:

Ads 468x60px

Friday, May 4, 2012

Makuzi ya watoto yanaitaji uangalifu

wazazi kuna vitu vingi tunakua hatufikirii kama vina effect ila kwa kweli ni muhimu kuwa waangalifu maana vingi vinawaaffect watoto wetu kama sio sasa basi katima maisha yao baadae.

Umewahi kufikiri kwa nini tabia ya kunywa pombe huwa inakua kama ya kurithi kwa watoto wa wanaokunywa? hii ni kwa sababu wengine huwa wanaziona pombe nyumbani na kujua wazazi wake wanakunywa na kwa mtoto kila anachokifanya mzazi ni halali kwake. kwa hivo wengi hujaribu katika umri ambao hawezi kujudge kwamba si kitu kizuri.

Angalia mtoto huyu;

No comments:

Post a Comment